Tangazo

Pages

Tuesday, May 29, 2012

Carl Froch says his achievements now "eclipse" those of fellow British super-middleweight greats Joe Calzaghe, Chris Eubank and Nigel Benn.


29 May 2012 Last updated at 12:20 GMT

Carl Froch and girlfriend Rachael Cordingley

In Nottingham on Saturday, Froch became a three-time world champion with a stunning stoppage of Lucian Bute.
"If you're asking me how I compare, I've eclipsed them, gone past them, it's as simple as that," said Froch.
"I've had eight big fights on the spin, all for world titles. You've got to put me up there with the others, at least."
The 1990s were a golden era for the 168lb division in Britain, with Benn, Eubank and Irishman Steve Collins engaging in a classic series of

blog ya masumbwi yaanzishwa

kwa wale jamaa zangu wapendao masumbwi na kujua sheria zaid za
masumbwi msiogope kutembelea katika kiblogy chetu cha
http://bigrightboxing.blogspot.com/  na msisite kukitolea mawazo ili
twende sawa katika kuendeleza na kukuza mchezo nchini mwetu

regalds
IBRAHIM ABBAS KAMWE
+255 713 501991
+255 767 501991
+255 784 501991
+255 774 502991
ibrakamwe@yahoo.com
ttp://bigrightboxing.blogspot.com/

Sunday, May 27, 2012

MCHUMIA TUMBO AMGALAGAZA Bahati Mwamfiale


Baadhi ya mashabiki wakiwa wamebeba viti kwa ajili ya kujifunika wakati mvua ilipokua iki nyesha kwenye mpambano huo Dar es salaam jana.PICHA NAwwwsuperdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa Mchezo wa Masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' akiwa amepozi wakati wa mpambano huoPICHA NAwwwsuperdboxingcoach.blogspot.com
SUPER D BOXING COACH AKIONESHA DVD ZAKE ALIZOKUWA AKIZA KATIKA MPAMBANO HUO DVD HIZO ZENYE MBINU NA SHERIA ZA MCHEZO WA MASUMBWI AMBAZO ZIMEEDITIWA KITAALAM KWA AJIRI YA KUFUNDISHA MBINU ZA MCHEZO HUO KUJUA SHERIA NA KANUNI ZAKE NDANI KUKIWA NA MABONDIA WA KIMATAIFA KAMA MANNY PAQUAIO,FLOYD MAYWEARTHER,AMIRI KHANY, MOHAMEDI ALI LENOX LEWIS NA WENGINE WENGIPICHA NAwwwsuperdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Alphoce Mchumiatumbo  kushoto akimshambulia kwa makonde bondia Bahati Mwamfiale wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana Mchumia tumbo alishinda kwa K,O raundi ya tatuPICHA NAwwwsuperdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Alphoce Mchumiatumbo kulia akipambana na Bahati Mwamfiale wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam janaPICHA NAwwwsuperdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Alphoce Mchumiatumbo  kushoto akimwangalia bondia Bahati Mwamfiale  baada ya kumfulumusha makonde na kukaa chini wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana Mchumia tumbo alishinda kwa K,O raundi ya tatu PICHA NAwwwsuperdboxingcoach.blogspot.com

IDDY MNYEKE AJINOA KUMKABILI FADHIRI AWADHI JUNE 9


 Bondia Iddy Mnyeke kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Vitor Njait wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya ngumi ya Ilala Mnyeke  anajitahalisha na mpambano wake dhidi ya Fadhiri Awadhi utakaofanyika June 9 katika ukumbi wa Frensi kona Manzese Dar es salaam .Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.comwww.superdboxingcoach.blogspot.com
 Bondia Iddy Mnyeke kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Vitor Njait wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya ngumi ya Ilala Mnyeke  anajitahalisha na mpambano wake dhidi ya Fadhiri Awadhi utakaofanyika June 9 katika ukumbi wa Frensi kona Manzese Dar es salaam .Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.comwww.superdboxingcoach.blogspot.com

Saturday, May 26, 2012

RAJABU MHAMILA 'SUPER D' NA VISIBITISHO VYA KUWA KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI DUNIANI



CHETI CHA UTAMBULISHO WA KUFUZU MAFUNZO YA NGAZI YA KWANZA YA UKOCHA WA MASUMBWI KIRICHOTOLEWA NA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA NCHINI TANZANIA BFT  KWA RAJABU MHAMILA 'SUPER D'

CHETI CHA UTAMBULISHO WA KUFUZU MAFUNZO YA NGAZI YA JUU YA UKOCHA WA MASUMBWI  KIMATAIFA KIRICHOTOLEWA NA KAMATI YA OLIMPIC DUNIANI KWA KUSHIRIKIANA NA KAMATI YA OLIMPIC TANZANIA YA KUMTAMBUA SUPER D NI KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI

MOJA YA NEMBO INAYOTUMIWA NA SUPER D KUMTANGAZA KWA NJIA MBALIMBALI IKIWEMO FLANA ALIZOWAI KUTOA KWA MAKOCHA WENZIE WAKATI YUPO KATIKA MAFUNZO YA MCHEZO HUO KIMATAIFA

Friday, May 25, 2012

MABONDIA DIMOSO NA MROSO KUPSAMBANA JUNE 2 DDC KARIAKOO






Na Mwandishi Wetu


MPAMBANO wa masumbwi kufanyika june 2 mpambano huo ulioandaliwa na Zugo Promoter ni wa kirafiki utakao wakutanisha mabondia kutoka Arusha na Dar es salaam akizungumza na waandishi wa habari Meneja wa Zugo. Suleiman Zugo.


Alisema mabondia hawo ni George Dimoso wa Dar es salaam atakayepambana na Robert Mroso mpambano utakaofanyika katika ukumbi wa DDC Kariakoo jijini Dar es salaam

Mpambano huo utakaotanguliwa na Ambukile Chusa atakaezichapa na Ysufu Jibaba, Emanuel Philimoni na Saidi Mbelwa,Abeid Zugo na Rashidi Nyagatwa na mpambano mwingine utawakutanisha James Martin na Ally Mahiyo


Katika mpambano huo kutakuwa na burudani mbalimbali zitakazotolewa na wasanii aiza mchezo huo umeandaliwa kwa ajili ya kuinua mchezo wa masumbwi ili uweze kusonga mbele.


Zugo aliongeza kwa kusema wanatakiwa wafadhili wajitokeze kuzamini mchezo huo ili uweze kusonga mbele na kuliletea sifa taifa letu.
 Mbali ya kuwepo na mpambano huo siku hiyo kutakuwa na
huuzwaji wa DVD za Mafunzo ya Mchezo wa Masumbwi wakiwemo mabondia Lenox Lewis,
Evander Holfiled,David Haye, Waldmil Klitichiko,Manny Paquaio, Floyd Maywether,
Roj Jones na wengine wengi

Zitakuwa zikisambazwa kwa ajili ya kuwapa

mabondia,mashabiki marefarii kutambua sheria na kanuni za mchezo huo Duniani
ambazo zimeandaliwa na Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi Nchini, Rajabu
Mhamila Super D Alisema kuwa tangia aanze kutoa mafunzo kwa njia hiyo watu wengi wameanza kuwa na uwelewa wa mchezo wa masumbwi nchini kwa kutambua sheria na mambo mbalimbali ya mchezo alisema Super D boxing Coach ambapo mpaka sasa ameweza kutoa matoleo nane tofauti ya mabingwa wa ngumi Duniani Akichanganya na mabondia wa Nchini.

Thursday, May 24, 2012

EMAMANUEL TAGOE AVULIWA UBINGWA WA IBF.



Shirikisho la Ngumi la Kitaifa bara la Afrika, mashariki ya kati na Ghuba ya Uajemi (IBF) limetangaza kumvua ubingwa wa mabara katika uzito wa Junior Light uliokuwa unashikiliwa na bondia Emmanuel Tagoe wa Ghana (Pichani).
Katika kumvua ubingwa huo ambao Tagoe alikuwa autetee tarehe 26 May Rais wa Shirikisho hilo barani Afrika, Mashariki ya Kati na Ghuba ya Uajemi bwana Onesmo Ngowi alisema kuwa Tagoe anavuliwa ubingwa kutokana na kudanganya kwake kwenye vipimo vya afya!
Hii ni mara ya kwanza kwa Shirikisho hilo kumvua ubingwa bondia kwa madai ya kudanyanya kwenye vipimo vya afya!
Bondia Emmanuel Tagoe alikuwa azipige na bondia Antonio De Vitis wa Italia kugombea ubingwa wa Junior Lightweight May 26, mwaka huu!
Msimamizi mkuu wa mpambano huo alikuwa Rais wa IBF katika bara la Afrika, Mashariki ya Kati na Ghuba ya Uajemi Mtanzania Onesmo Ngowi. Ngowi pia ni Rais wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania na Mkurugenzi wa Baraza la Ngumi la Jumuiya ya Madola (CBC).
Hii inawaweka mabondia wote katika hali ya hatari ya kuvuliwa ubingwa wao endapo tu wataonekana kuwa wamedanganya katika vipimo vya afya zao. Aidha, tabia ya mabondia wengi kutumia madawa ya kulevya inahatarisha ushiriki wao katika mchezo wa ngumi.
Katika msimamo wake huo Ngowi alisema kuwa ameuchukua uamuzi huo ili kutoa fundisho kwa wale wote wanaofikiri kuwa udannganyifu hususan utumiaji wa madawa ya kuongeza nguvu utawasaidia katika michezo.
Wanamichezo wanatakiwa wajue kuwa vipaji, juhudi za kufanya mazoezi na kujituma ndivyo pekee vitakavyowapa ushindi katika michezo na sio dawa za kulevya.
Matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu yamepigwa marufuku hata michezo mbalimbali kama Olympic, World Cup na mashindano mengi ya ya kitaifa na kimataifa.
Hili ni fundisho rasmi kwa mabondia wa kitanzania wanaotumia madawa ya kulevya kama bangi na mengine ili washinde katika mapambano yao. Kwa kazi hii mchezo utabaki kwa wa wenye vipaji tu!
Imetolewa na
Kitengo cha Mahusiano (PRO)
International Boxing Federation Africa (IBF/AFRICA).